1 Mwanangu, sikiliza kwa makini hekima yangu,
2 ili uweze kutunza busara
3 Kwa maana midomo ya mwanamke kahaba
4 lakini mwisho wake ni mchungu kama nyongo,
5 Miguu yake hushuka kuelekea kwenye kifo;
6 Yeye hafikiri juu ya njia ya uzima;
7 Sasa basi wanangu, nisikilizeni;
8 Njia zenu ziwe mbali naye,
9 usije ukatoa nguvu zako nzuri kwa wengine
10 wageni wasije wakasherehekea utajiri wako
11 Mwishoni mwa maisha yako utalia kwa uchungu,
12 Utasema, “Tazama jinsi gani nilivyochukia adhabu!
13 Sikuwatii walimu wangu
14 Nimefika ukingoni mwa maangamizi kabisa
15 Kunywa maji kutoka kwenye kisima chako mwenyewe,
16 Je, chemchemi zako zifurike katika barabara za mji
17 Na viwe vyako mwenyewe,
18 Chemchemi yako na ibarikiwe
19 Kulungu jike apendaye, kulungu mzuri:
20 Kwa nini mwanangu, utekwe na mwanamke kahaba?
21 Kwa maana njia za mtu ni wazi kabisa mbele za Bwana,
22 Matendo mabaya ya mtu mwovu humnasa yeye mwenyewe;
23 Atakufa kwa kukosa nidhamu,