Provérbios 4

SWHONEN

1 Sikilizeni wanangu, mafundisho ya baba yenu;

2 Ninawapa mafundisho ya maana,

3 Nilipokuwa mvulana mdogo katika nyumba ya baba yangu,

4 baba alinifundisha akisema,

5 Pata hekima, pata ufahamu;

6 Usimwache hekima naye atakuweka salama;

7 Hekima ni bora kuliko vitu vyote; kwa hiyo jipe hekima.

8 Mstahi, naye atakukweza;

9 Atakuvika shada la neema kichwani mwako

10 Sikiliza mwanangu, kubali ninachokuambia,

11 Ninakuongoza katika njia ya hekima

12 Utembeapo, hatua zako hazitazuiliwa;

13 Mkamate sana elimu, usimwache aende zake;

14 Usiuweke mguu wako katika njia ya waovu

15 Epukana nayo, usisafiri katika njia hiyo;

16 Kwa kuwa hawawezi kulala mpaka watende uovu;

17 Wanakula mkate wa uovu,

18 Njia ya wenye haki ni kama nuru ya kwanza ya mapambazuko,

19 Lakini njia ya waovu ni kama giza nene;

20 Mwanangu, yasikilize kwa makini yale ninayokuambia;

21 Usiruhusu yaondoke machoni pako,

22 kwa sababu ni uzima kwa wale wanaoyapata

23 Zaidi ya yote, linda moyo wako, kuliko yote uyalindayo,

24 Epusha kinywa chako na ukaidi;

25 Macho yako na yatazame mbele,

26 Sawazisha mapito ya miguu yako

27 Usigeuke kulia wala kushoto;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado