1 Misemo ya Mfalme Lemueli, usia wa mama yake aliyomfundisha:
2 “Ee mwanangu, ee mwana wa tumbo langu,
3 Usitumie nguvu zako kwa wanawake,
4 “Ee Lemueli, haifai wafalme,
5 wasije wakanywa na kusahau vile sheria inavyoamuru
6 Wape kileo wale wanaoangamia,
7 Wanywe na kusahau umaskini wao
8 “Sema kwa ajili ya wale wasioweza kujisemea,
9 Sema na uamue kwa haki,
10 Mke mwenye sifa nzuri, ni nani awezaye kumpata?
11 Mume wake anamwamini kikamilifu
12 Humtendea mumewe mema, wala si mabaya,
13 Huchagua sufu na kitani
14 Yeye ni kama meli za biashara
15 Yeye huamka kungali bado giza
16 Huangalia shamba na kulinunua,
17 Hufanya kazi zake kwa nguvu,
18 Huona kwamba biashara yake ina faida,
19 Huweka mikono yake kwenye pia,
20 Huwanyooshea maskini mikono yake
21 Theluji ishukapo, hana hofu kwa ajili ya watu wa nyumbani mwake,
22 Hutengeneza mazulia ya urembo ya kufunika kitanda chake,
23 Mume wake anaheshimiwa kwenye lango la mji,
24 Hutengeneza mavazi ya kitani na kuyauza,
25 Amevikwa nguvu na heshima,
26 Huzungumza kwa hekima
27 Huangalia mambo ya nyumbani mwake
28 Watoto wake huamka na kumwita aliyebarikiwa,
29 “Wanawake wengi hufanya vitu vyenye sifa nzuri,
30 Kujipamba ili kuvutia ni udanganyifu na uzuri unapita upesi,
31 Mpe thawabu anayostahili,