1 Misemo ya Aguri mwana wa Yake, usia:
2 “Mimi ni mjinga kuliko wanadamu wote;
3 Sijajifunza hekima,
4 Ni nani ameshapanda mbinguni na kushuka?
5 “Kila neno la Mungu ni kamilifu;
6 Usiongeze kwenye maneno yake,
7 “Ninakuomba vitu viwili, Ee Bwana;
8 Uutenge mbali nami udanganyifu na uongo;
9 Nisije nikawa na vingi vya kuzidi nikakukana
10 “Usimchongee mtumishi kwa bwana wake,
11 “Wako watu wale ambao huwalaani baba zao
12 wale ambao ni safi machoni pao wenyewe
13 wale ambao daima macho yao ni ya kiburi,
14 wale ambao meno yao ni panga
15 “Mruba anao binti wawili waliao,
16 Ni kaburi, tumbo lisilozaa,
17 “Jicho lile limdhihakilo baba,
18 “Kuna vitu vitatu vinavyonishangaza sana,
19 Ni mwendo wa tai katika anga,
20 “Huu ndio mwendo wa mwanamke mzinzi,
21 “Kwa mambo matatu nchi hutetemeka,
22 Mtumwa awapo mfalme,
23 mwanamke asiyependwa aolewapo,
24 “Vitu vinne duniani vilivyo vidogo,
25 Mchwa ni viumbe wenye nguvu ndogo,
26 Pelele ni viumbe vyenye uwezo mdogo
27 Nzige hawana mfalme,
28 Mjusi anaweza kushikwa kwa mkono,
29 “Viko vitu vitatu ambavyo vinapendeza katika mwendo wao,
30 simba, mwenye nguvu miongoni mwa wanyama,
31 jogoo atembeaye kwa maringo, pia beberu,
32 “Ikiwa umefanya upumbavu na ukajitukuza mwenyewe,
33 Kwa maana kama vile kusukasuka maziwa hutoa siagi,