Provérbios 28

SWHONEN

1 Mtu mwovu hukimbia ingawa hakuna yeyote anayemfukuza,

2 Wakati nchi inapokuwa na uasi, inakuwa na viongozi wengi,

3 Mtu maskini amwoneaye yeye aliye maskini zaidi

4 Wale waiachao sheria huwasifu waovu,

5 Watu wabaya hawaelewi haki,

6 Afadhali maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama

7 Yeye ashikaye sheria ni mwana mwenye ufahamu,

8 Yeye aongezaye utajiri wake kwa riba kubwa mno

9 Kama mtu yeyote akikataa kusikia sheria,

10 Yeye ambaye humwongoza mwenye haki kwenye mapito mabaya,

11 Mtu tajiri anaweza kuwa na hekima machoni pake mwenyewe,

12 Mwenye haki ashindapo, kuna furaha kubwa,

13 Yeye afichaye dhambi zake hatafanikiwa,

14 Amebarikiwa mtu ambaye siku zote humcha Bwana,

15 Kama simba angurumaye au dubu ashambuliaye,

16 Mtawala dhalimu hana akili,

17 Mtu mwenye kusumbuliwa na hatia ya kuua

18 Yeye ambaye mwenendo wake hauna lawama

19 Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele,

20 Mtu mwaminifu atabarikiwa sana,

21 Kuonyesha upendeleo si vizuri,

22 Mtu mchoyo ana tamaa ya kupata utajiri,

23 Yeye amkemeaye mtu mwishoni hupata kibali zaidi,

24 Yeye amwibiaye babaye au mamaye

25 Mtu mwenye tamaa huchochea fitina,

26 Yeye ajitumainiaye mwenyewe ni mpumbavu,

27 Yeye ampaye maskini

28 Wakati waovu watawalapo,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado