1 Usijisifu kwa ajili ya kesho,
2 Mwache mwingine akusifu,
3 Jiwe ni zito na mchanga ni mzigo,
4 Hasira ni ukatili na ghadhabu kali ni gharika,
5 Afadhali karipio la wazi
6 Majeraha kutoka kwa rafiki yaonyesha uaminifu,
7 Yeye aliyeshiba huchukia kabisa asali,
8 Kama ndege atangatangavyo mbali na kiota chake,
9 Manukato na uvumba huleta furaha moyoni,
10 Usimwache rafiki yako wala rafiki wa baba yako,
11 Mwanangu, uwe na hekima,
12 Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha,
13 Chukua vazi la yule awekaye dhamana
14 Kama mtu akimbariki jirani yake kwa sauti kuu
15 Mke mgomvi ni kama
16 Kumzuia yeye ni kama kuuzuia upepo
17 Kama vile chuma kinoavyo chuma,
18 Yeye autunzaye mtini atakula tunda lake,
19 Kama uso uonekanavyo kwenye maji,
20 Kuzimu na Uharibifu havishibi
21 Kalibu ni kwa ajili ya fedha
22 Hata ukimtwanga mpumbavu kwenye kinu,
23 Hakikisha kuwa unajua hali ya makundi yako
24 Kwa kuwa utajiri haudumu milele,
25 Wakati majani makavu yameondolewa
26 wana-kondoo watakupatia mavazi
27 Utakuwa na maziwa mengi ya mbuzi