Provérbios 27

SWHONEN

1 Usijisifu kwa ajili ya kesho,

2 Mwache mwingine akusifu,

3 Jiwe ni zito na mchanga ni mzigo,

4 Hasira ni ukatili na ghadhabu kali ni gharika,

5 Afadhali karipio la wazi

6 Majeraha kutoka kwa rafiki yaonyesha uaminifu,

7 Yeye aliyeshiba huchukia kabisa asali,

8 Kama ndege atangatangavyo mbali na kiota chake,

9 Manukato na uvumba huleta furaha moyoni,

10 Usimwache rafiki yako wala rafiki wa baba yako,

11 Mwanangu, uwe na hekima,

12 Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha,

13 Chukua vazi la yule awekaye dhamana

14 Kama mtu akimbariki jirani yake kwa sauti kuu

15 Mke mgomvi ni kama

16 Kumzuia yeye ni kama kuuzuia upepo

17 Kama vile chuma kinoavyo chuma,

18 Yeye autunzaye mtini atakula tunda lake,

19 Kama uso uonekanavyo kwenye maji,

20 Kuzimu na Uharibifu havishibi

21 Kalibu ni kwa ajili ya fedha

22 Hata ukimtwanga mpumbavu kwenye kinu,

23 Hakikisha kuwa unajua hali ya makundi yako

24 Kwa kuwa utajiri haudumu milele,

25 Wakati majani makavu yameondolewa

26 wana-kondoo watakupatia mavazi

27 Utakuwa na maziwa mengi ya mbuzi

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado