Provérbios 25

SWHONEN

1 Hizi ni mithali zaidi za Solomoni, zilizonakiliwa na watu wa Hezekia mfalme wa Yuda:

2 Ni Utukufu wa Mungu kuficha jambo,

3 Kama mbingu zilivyo juu na nchi ilivyo chini,

4 Ondoa takataka kwenye madini ya fedha,

5 Ondoa waovu mbele ya mfalme,

6 Usijikweze mwenyewe mbele ya mfalme,

7 ni afadhali yeye akuambie, “Njoo huku juu,”

8 usiharakishe kukipeleka mahakamani,

9 Kama ukifanya shauri na jirani yako,

10 ama yeye aisikiaye aweza kukuaibisha

11 Neno lisemwalo kwa wakati ufaao

12 Kama vile kipuli cha dhahabu

13 Kama vile ubaridi wa theluji wakati wa mavuno

14 Kama vile mawingu na upepo pasipo mvua

15 Kwa njia ya uvumilivu mtawala aweza kushawishiwa,

16 Ukipata asali, kula kiasi tu cha kukutosha,

17 Ingiza mguu wako nyumbani kwa jirani yako mara chache,

18 Kama vile rungu au upanga au mshale mkali

19 Kama vile jino bovu au mguu uliolemaa,

20 Kama vile avuaye mavazi siku ya baridi,

21 Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale;

22 Kwa kufanya hivyo, unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake,

23 Kama vile upepo wa kaskazini uletavyo mvua,

24 Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba,

25 Kama vile maji baridi kwa nafsi iliyochoka

26 Kama vile chemchemi iliyotibuliwa matope au

27 Si vyema kula asali nyingi sana,

28 Kama vile mji ambao kuta zake zimebomoka

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado