1 Uketipo kula chakula na mtawala,
2 na utie kisu kooni mwako
3 Usitamani vyakula vyake vitamu
4 Usijitaabishe ili kuupata utajiri,
5 Kufumba na kufumbua utajiri hutoweka,
6 Usile chakula cha mtu mchoyo,
7 kwa maana yeye ni aina ya mtu
8 Utatapika kile kidogo ulichokula,
9 Usizungumze na mpumbavu,
10 Usisogeze jiwe la mpaka wa zamani
11 kwa kuwa Mtetezi wao ni mwenye nguvu,
12 Elekeza moyo wako kwenye mafundisho
13 Usimnyime mtoto adhabu,
14 Mwadhibu kwa fimbo
15 Mwanangu, kama moyo wako una hekima,
16 utu wangu wa ndani utafurahi,
17 Usiuruhusu moyo wako kuwaonea wivu wenye dhambi,
18 Hakika kuna tumaini la baadaye kwa ajili yako,
19 Sikiliza, mwanangu na uwe na hekima,
20 Usiwe miongoni mwa wanywao mvinyo,
21 kwa maana walevi na walafi huwa maskini,
22 Msikilize baba yako, aliyekuzaa,
23 Nunua kweli wala usiiuze,
24 Baba wa mwenye haki ana furaha kubwa,
25 Baba yako na mama yako na wafurahi,
26 Mwanangu, nipe moyo wako,
27 kwa maana kahaba ni shimo refu
28 Kama mnyangʼanyi, hungojea akivizia,
29 Ni nani mwenye ole?
30 Ni hao wakaao sana kwenye mvinyo,
31 Usiukodolee macho mvinyo wakati ukiwa mwekundu,
32 Mwishowe huuma kama nyoka
33 Macho yako yataona mambo mageni
34 Utakuwa kama alalaye katikati ya bahari,
35 Utasema, “Wamenipiga lakini sikuumia!