Provérbios 21

SWHONEN

1 Moyo wa mfalme uko katika mkono wa Bwana;

2 Njia zote za mwanadamu huonekana sawa kwake,

3 Kufanya yaliyo sawa na haki inakubalika

4 Macho ya kudharau na moyo wa kiburi,

5 Mipango ya mwenye bidii huelekeza kwenye faida,

6 Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo

7 Jeuri ya waovu itawaburuta mbali,

8 Njia ya mwenye hatia ni ya upotovu,

9 Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba,

10 Mtu mwovu hutamani sana ubaya,

11 Wakati mwenye mzaha ameadhibiwa,

12 Mwenye Haki huyajua yanayotendeka katika nyumba za waovu,

13 Mtu akiziba masikio asisikie kilio cha maskini,

14 Zawadi itolewayo kwa siri hutuliza hasira

15 Wakati haki imetendeka, huleta furaha kwa wenye haki,

16 Mtu anayepotea kutoka mapito ya ufahamu,

17 Mtu apendaye anasa atakuwa maskini,

18 Waovu huwa fidia kwa ajili ya wenye haki,

19 Ni afadhali kuishi jangwani

20 Katika nyumba ya mwenye hekima

21 Yeye afuatiaye haki na upendo

22 Mtu mwenye hekima huushambulia mji wa wenye nguvu,

23 Yeye alindaye kinywa chake na ulimi wake

24 Mtu mwenye kiburi na majivuno, “Mdhihaki” ndilo jina lake;

25 Kutamani sana kwa mvivu kutakuwa kifo chake,

26 Mchana kutwa hutamani zaidi,

27 Dhabihu ya mtu mwovu ni chukizo,

28 Shahidi wa uongo ataangamia,

29 Mtu mwovu ana uso wa ushupavu,

30 Hakuna hekima, wala akili, wala mpango

31 Farasi huandaliwa kwa ajili ya siku ya vita,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado