1 Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi;
2 Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya simba;
3 Ni kwa heshima ya mtu kujitenga ugomvi,
4 Mvivu halimi kwa majira;
5 Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina,
6 Watu wengi hujidai kuwa na upendo usiokoma,
7 Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na lawama,
8 Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu,
9 Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi;
10 Mawe ya kupimia yaliyo tofauti na vipimo tofauti,
11 Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake,
12 Masikio yasikiayo na macho yaonayo,
13 Usiupende usingizi la sivyo utakuwa maskini,
14 “Haifai, haifai!” asema mnunuzi,
15 Dhahabu kunayo, na marijani kwa wingi,
16 Chukua vazi la yule awekaye dhamana
17 Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa mwanadamu,
18 Fanya mipango kwa kutafuta mashauri,
19 Maneno ya kusengenya husababisha kutokuaminika,
20 Ikiwa mtu atamlaani baba yake au mama yake,
21 Urithi upatikanao haraka mwanzoni,
22 Usiseme, “Nitakulipiza kwa ajili ya kosa hili!”
23 Bwana anachukia sana mawe ya kupimia ya udanganyifu,
24 Hatua za mtu huongozwa na Bwana.
25 Ni mtego kwa mtu kuweka wakfu kitu kwa haraka
26 Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu,
27 Taa ya Bwana huchunguza roho ya mwanadamu,
28 Upendo na uaminifu humweka mfalme salama,
29 Utukufu wa vijana ni nguvu zao,
30 Mapigo na majeraha huusafisha ubaya,