Provérbios 18

SWHONEN

1 Mtu ajitengaye na wengine

2 Mpumbavu hafurahii ufahamu,

3 Wakati uovu unapokuja, dharau huja pia,

4 Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kina cha maji,

5 Sio vizuri kumpendelea mtu mwovu,

6 Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi

7 Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake

8 Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu;

9 Mtu aliye mlegevu katika kazi yake

10 Jina la Bwana ni ngome imara,

11 Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome,

12 Kabla ya anguko moyo wa mtu hujaa kiburi,

13 Yeye ajibuye kabla ya kusikiliza,

14 Roho ya mtu itastahimili katika ugonjwa

15 Moyo wa mwenye ufahamu hujipatia maarifa,

16 Zawadi humfungulia njia mtoaji,

17 Yeye aliye wa kwanza kuleta mashtaka huonekana sahihi,

18 Kupiga kura hukomesha mashindano

19 Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kuridhika

20 Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake,

21 Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi,

22 Apataye mke apata kitu chema

23 Mtu maskini huomba kuhurumiwa

24 Mtu mwenye marafiki wengi wanaweza kumharibu,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado