1 Mtu ajitengaye na wengine
2 Mpumbavu hafurahii ufahamu,
3 Wakati uovu unapokuja, dharau huja pia,
4 Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kina cha maji,
5 Sio vizuri kumpendelea mtu mwovu,
6 Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi
7 Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake
8 Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu;
9 Mtu aliye mlegevu katika kazi yake
10 Jina la Bwana ni ngome imara,
11 Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome,
12 Kabla ya anguko moyo wa mtu hujaa kiburi,
13 Yeye ajibuye kabla ya kusikiliza,
14 Roho ya mtu itastahimili katika ugonjwa
15 Moyo wa mwenye ufahamu hujipatia maarifa,
16 Zawadi humfungulia njia mtoaji,
17 Yeye aliye wa kwanza kuleta mashtaka huonekana sahihi,
18 Kupiga kura hukomesha mashindano
19 Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kuridhika
20 Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake,
21 Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi,
22 Apataye mke apata kitu chema
23 Mtu maskini huomba kuhurumiwa
24 Mtu mwenye marafiki wengi wanaweza kumharibu,