1 Afadhali kula ukoko mkavu ukiwa na amani na utulivu
2 Mtumishi mwenye hekima atatawala juu ya mwana aaibishaye,
3 Kalibu ni kwa ajili ya fedha na tanuru ni kwa ajili ya dhahabu,
4 Mtu mwovu husikiliza midomo mibaya;
5 Yeye anaye mdhihaki maskini huonyesha dharau kwa Muumba wake;
6 Wana wa wana ni taji la wazee,
7 Midomo yenye uwezo wa ushawishi haimfai mpumbavu:
8 Kipawa ni kama kito cha thamani machoni pake yeye aliye nacho;
9 Yeye anayesamehe kosa hudumisha upendo,
10 Karipio humwingia sana mtu mwenye kutambua
11 Mtu mbaya hupenda kuasi tu;
12 Ni afadhali ukutane na dubu aliyenyangʼanywa watoto wake,
13 Ikiwa mtu atalipa baya kwa jema,
14 Kuanzisha ugomvi ni kama kutoboa bwawa la maji;
15 Yeye asemaye kuwa asiye na haki ana haki,
16 Fedha ina faida gani mikononi mwa mpumbavu,
17 Rafiki hupenda wakati wote
18 Mtu mjinga hupana mkono ili kuweka rehani,
19 Yeye apendaye ugomvi apenda dhambi;
20 Mtu mwenye moyo mpotovu hawezi kufanikiwa;
21 Kuwa na mwana mpumbavu huleta huzuni;
22 Moyo wenye furaha ni dawa nzuri,
23 Mtu mwovu hukubali rushwa kwa siri
24 Mtu wa ufahamu huitazama hekima,
25 Mwana mpumbavu huleta huzuni kwa baba yake
26 Si vizuri kumwadhibu mtu asiye na hatia,
27 Mtu mwenye maarifa hutumia maneno kwa kujizuia,
28 Hata mtu mpumbavu hudhaniwa kuwa na hekima kama akinyamaza,