Provérbios 15

SWHONEN

1 Jawabu la upole hugeuza ghadhabu,

2 Ulimi wa mwenye hekima husifu maarifa,

3 Macho ya Bwana yako kila mahali,

4 Ulimi uletao uponyaji ni mti wa uzima,

5 Mpumbavu hubeza maonyo ya baba yake,

6 Nyumba ya mwenye haki ina hazina kubwa,

7 Midomo ya mwenye hekima hueneza maarifa,

8 Bwana huchukia sana dhabihu za waovu,

9 Bwana huchukia sana njia ya waovu,

10 Adhabu kali humngoja yeye aachaye njia;

11 Mauti na Uharibifu viko wazi mbele za Bwana:

12 Mwenye mzaha huchukia maonyo;

13 Moyo wenye furaha hufanya uso uchangamke,

14 Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa,

15 Siku zote za wanaoonewa ni za taabu,

16 Afadhali kuwa na kidogo pamoja na kumcha Bwana,

17 Afadhali chakula cha mboga mahali palipo na upendo

18 Mtu mwepesi wa hasira huchochea ugomvi,

19 Njia ya mvivu imezibwa na miiba,

20 Mwana mwenye hekima huleta furaha kwa baba yake,

21 Upumbavu humfurahisha mtu ambaye hana akili,

22 Mipango hushindwa kufanikiwa kwa ajili ya kukosa ushauri,

23 Mtu hupata furaha katika kutoa jibu linalofaa:

24 Mapito ya uzima huelekea juu kwa ajili ya wenye hekima

25 Bwana hubomoa nyumba ya mtu mwenye kiburi,

26 Bwana huchukia sana mawazo ya mwovu,

27 Mtu mwenye tamaa huletea jamaa yake taabu,

28 Moyo wa mwenye haki hupima majibu yake,

29 Bwana yuko mbali na waovu,

30 Mtazamo wa tabasamu huleta furaha moyoni,

31 Yeye asikilizaye maonyo yatoayo uzima

32 Yeye anayedharau maonyo hujidharau mwenyewe,

33 Kumcha Bwana humfundisha mtu hekima,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado