Provérbios 14

SWHONEN

1 Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake,

2 Yeye ambaye njia zake ni nyofu humcha Bwana,

3 Mazungumzo ya mpumbavu huleta fimbo mgongoni mwake,

4 Pale ambapo hakuna mafahali, hori ni tupu,

5 Shahidi mwaminifu hadanganyi,

6 Mwenye mzaha huitafuta hekima na haipati,

7 Kaa mbali na mtu mpumbavu,

8 Hekima ya mwenye busara ni kufikiria njia zake,

9 Wapumbavu hudhihaki kujirekebisha kutoka dhambi,

10 Kila moyo hujua uchungu wake wenyewe,

11 Nyumba ya mwovu itaangamizwa,

12 Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu,

13 Hata katika kicheko moyo waweza kuuma,

14 Wasio na imani watapatilizwa kikamilifu kwa ajili ya njia zao,

15 Mtu mjinga huamini kila kitu,

16 Mtu mwenye hekima humcha Bwana na kuepuka mabaya,

17 Mtu anayekasirika kwa haraka hufanya mambo ya upumbavu,

18 Mjinga hurithi upumbavu,

19 Watu wabaya watasujudu mbele ya watu wema,

20 Maskini huepukwa hata na majirani zao,

21 Yeye anayemdharau jirani yake hutenda dhambi,

22 Je, wale wanaopanga ubaya hawapotoki?

23 Kazi zote zinazofanywa kwa bidii huleta faida,

24 Utajiri wa wenye hekima ni taji yao,

25 Shahidi wa kweli huokoa maisha,

26 Yeye amchaye Bwana ana ngome salama,

27 Kumcha Bwana ni chemchemi ya uzima,

28 Wingi wa watu ni utukufu wa mfalme,

29 Mtu mwenye subira ana ufahamu mwingi,

30 Moyo wenye amani huupa mwili uzima,

31 Yeye amwoneaye maskini huonyesha dharau kwa Muumba wao,

32 Waovu huangamizwa kwa matendo yao maovu,

33 Hekima hukaa katika moyo wa mwenye ufahamu

34 Haki huinua taifa,

35 Mfalme hupendezwa na mtumishi mwenye hekima,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado