1 Rudi, ee Israeli, kwa Bwana Mungu wako.
2 Chukueni maneno pamoja nanyi,
3 Ashuru hawezi kutuokoa,
4 “Nitaponya ukaidi wao
5 Nitakuwa kama umande kwa Israeli;
6 matawi yake yatatanda.
7 Watu wataishi tena kwenye kivuli chake.
8 Ee Efraimu, nina shughuli gani tena na sanamu?
9 Ni nani mwenye hekima? Atayatambua mambo haya.