1 Wakati Efraimu alipozungumza, watu walitetemeka,
2 Sasa wanatenda dhambi zaidi na zaidi;
3 Kwa hiyo watakuwa kama ukungu wa asubuhi,
4 “Bali mimi ndimi Bwana Mungu wenu,
5 Niliwatunza huko jangwani,
6 Nilipowalisha, walishiba,
7 Kwa hiyo nitakuja juu yao kama simba,
8 Kama dubu aliyenyangʼanywa watoto wake,
9 “Ee Israeli, umeangamizwa,
10 Yuko wapi mfalme wako,
11 Hivyo katika hasira yangu nilikupa mfalme
12 Kosa la Efraimu limehifadhiwa,
13 Utungu kama wa mwanamke anayejifungua mtoto humjia,
14 “Nitawakomboa watu hawa kutoka nguvu za kaburi,
15 hata ingawa Efraimu atastawi
16 Watu wa Samaria ni lazima wabebe hatia yao,