1 Efraimu anajilisha upepo;
2 Bwana analo shtaka dhidi ya Yuda,
3 Yakobo akiwa tumboni alishika kisigino cha kaka yake;
4 Alishindana na malaika na kumshinda;
5 Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote,
6 Lakini ni lazima urudi kwa Mungu wako;
7 Mfanyabiashara hutumia vipimo vya udanganyifu;
8 Efraimu hujisifu akisema,
9 “Mimi ndimi Bwana Mungu wenu
10 Niliongea na manabii, nikawapa maono mengi
11 Je, Gileadi si mwovu?
12 Yakobo alikimbilia katika nchi ya Aramu;
13 Bwana alimtumia nabii
14 Lakini Efraimu amemchochea sana hasira;