1 “Wakati Israeli alipokuwa mtoto, nilimpenda,
2 Lakini kadiri nilivyomwita Israeli,
3 Mimi ndiye niliyemfundisha Efraimu kutembea,
4 Niliwaongoza kwa kamba za huruma ya kibinadamu,
5 “Je, hawatarudi Misri,
6 Panga zitametameta katika miji yao,
7 Watu wangu wamedhamiria kuniacha.
8 “Efraimu, ninawezaje kukuacha?
9 Sitatimiza hasira yangu kali,
10 Watamfuata Bwana;
11 Watakuja wakitetemeka
12 Efraimu amenizunguka kwa uongo,