1 Israeli alikuwa mzabibu uliostawi sana,
2 Moyo wao ni mdanganyifu,
3 Kisha watasema, “Hatuna mfalme
4 Wanaweka ahadi nyingi,
5 Watu wanaoishi Samaria huogopa
6 Itachukuliwa kwenda Ashuru
7 Samaria na mfalme wake wataelea
8 Mahali pa kuabudia sanamu pa uovu pataharibiwa:
9 “Tangu siku za Gibea, mmetenda dhambi, ee Israeli,
10 Wakati nitakapopenda, nitawaadhibu;
11 Efraimu ni mtamba wa ngʼombe aliyefundishwa
12 Jipandieni wenyewe haki,
13 Lakini mmepanda uovu,
14 mngurumo wa vita utainuka dhidi ya watu wako,
15 Ndivyo itakavyotokea kwako, ee Betheli,