1 Usifurahie, ee Israeli;
2 Sakafu za kupuria nafaka na mashinikizo ya kukamulia divai
3 Hawataishi katika nchi ya Bwana,
4 Hawatammiminia Bwana sadaka ya divai
5 Mtafanya nini katika siku ya sikukuu zenu zilizoamriwa,
6 Hata ikiwa wataokoka maangamizi,
7 Siku za adhabu zinakuja,
8 Nabii, pamoja na Mungu wangu,
9 Wamezama sana katika rushwa,
10 “Nilipompata Israeli, ilikuwa kama
11 Utukufu wa Efraimu utaruka kama ndege:
12 Hata wakilea watoto,
13 Nimemwona Efraimu, kama Tiro,
14 Wape, Ee Bwana,
15 “Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali,
16 Efraimu ameharibiwa,
17 Mungu wangu atawakataa