1 Neno la Bwana ambalo lilimjia Yoeli mwana wa Pethueli.
2 Sikilizeni hili, enyi wazee;
3 Waelezeni watoto wenu,
4 Kilichosazwa na kundi la tunutu
5 Amkeni, enyi walevi, mlie!
6 Taifa limevamia nchi yangu,
7 Limeharibu mizabibu yangu
8 Omboleza kama bikira aliyevaa nguo ya gunia
9 Sadaka za nafaka na sadaka za kinywaji
10 Mashamba yameharibiwa,
11 Kateni tamaa, enyi wakulima,
12 Mzabibu umekauka
13 Vaeni nguo ya gunia, enyi makuhani, muomboleze;
14 Tangazeni saumu takatifu;
15 Ole kwa siku hiyo!
16 Je, chakula hakikukatiliwa mbali
17 Mbegu zinakauka
18 Jinsi gani ngʼombe wanavyolia!
19 Kwako, Ee Bwana, naita,
20 Hata wanyama wa porini wanakuonea shauku;