1 Pigeni tarumbeta katika Sayuni;
2 siku ya giza na huzuni,
3 Mbele yao moto unateketeza,
4 Wanaonekana kama farasi;
5 Wanatoa sauti kama magari ya vita,
6 Wanapoonekana, mataifa yanakuwa katika maumivu makuu;
7 Wanashambulia kama wapiganaji wa vita;
8 Hakuna anayemsukuma mwenzake;
9 Wanaenda kasi kuingia mjini;
10 Mbele yao dunia inatikisika,
11 Bwana anatoa mshindo wa ngurumo
12 “Hata sasa,” asema Bwana,
13 Rarueni mioyo yenu
14 Ni nani ajuaye? Yeye aweza kugeuka na kuwa na huruma
15 Pigeni tarumbeta katika Sayuni,
16 Wakusanyeni watu,
17 Makuhani, ambao wanahudumu mbele za Bwana,
18 Kisha Bwana atakuwa na wivu kwa ajili ya nchi yake
19 Bwana atawajibu:
20 “Nitafukuza jeshi la kaskazini likae mbali nanyi,
21 Usiogope, ee nchi;
22 Msiogope, enyi wanyama pori,
23 Furahini, enyi watu wa Sayuni,
24 Sakafu za kupuria zitajaa nafaka,
25 “Nitawalipa kwa ajili ya miaka ile iliyoliwa na nzige:
26 Mtakuwa na wingi wa vyakula mpaka mshibe,
27 Ndipo mtakapojua kwamba mimi niko katika Israeli
28 “Hata itakuwa, baada ya hayo,
29 Hata juu ya watumishi wangu, wanaume kwa wanawake,
30 Nami nitaonyesha maajabu katika mbingu
31 Jua litageuzwa kuwa giza
32 Na kila mtu atakayeliitia