1 “Katika siku hizo na wakati huo,
2 nitayakusanya mataifa yote na kuyaleta
3 Wanawapigia kura watu wangu
4 “Sasa una nini dhidi yangu, ee Tiro na Sidoni, nanyi nchi zote za Ufilisti? Je, mnanilipiza kwa yale niliyoyafanya? Kama mnalipa, mimi nitalipiza juu ya vichwa vyenu kwa kasi na kwa haraka yale mliyoyatenda.
5 Kwa kuwa mlichukua fedha na dhahabu yangu pia mkabeba hazina zangu nzuri sana mkapeleka kwenye mahekalu yenu.
6 Mliwauza watu wa Yuda na Yerusalemu kwa Wayunani, ili kwamba mpate kuwapeleka mbali na nchi yao.
7 “Tazama nitawaamsha kutoka zile sehemu mlizowauza, nami nitawalipiza juu ya vichwa vyenu kile mlichofanya.
8 Nitawauza wana wenu na binti zenu kwa watu wa Yuda, nao watawauza kwa Waseba, taifa lililo mbali.” Bwana amesema.
9 Tangazeni hili miongoni mwa mataifa:
10 Majembe yenu yafueni yawe panga
11 Njooni haraka, ninyi mataifa yote kutoka pande zote,
12 “Mataifa na yaamshwe;
13 Tia mundu,
14 Umati mkubwa, umati mkubwa
15 Jua na mwezi vitatiwa giza,
16 Bwana atanguruma kutoka Sayuni
17 “Ndipo mtakapojua kwamba Mimi, Bwana Mungu wenu,
18 “Katika siku hiyo milima itadondosha divai mpya,
19 Lakini Misri itakuwa ukiwa,
20 Yuda itakaliwa na watu milele
21 Hatia yao ya damu, ambayo sijasamehe,