Amós 1

SWHONEN

1 Maneno ya Amosi, mmoja wa wachunga wanyama wa Tekoa: yale aliyoyaona kuhusu Israeli miaka miwili kabla ya tetemeko la ardhi, wakati Uzia alikuwa mfalme wa Yuda, na Yeroboamu mwana wa Yehoashi alikuwa mfalme wa Israeli.

2 Alisema:

3 Hili ndilo asemalo Bwana:

4 Nitatuma moto juu ya nyumba ya Hazaeli

5 Nitalivunja lango la Dameski;

6 Hili ndilo asemalo Bwana:

7 nitatuma moto juu ya kuta za Gaza

8 Nitamwangamiza mfalme wa Ashdodi

9 Hili ndilo asemalo Bwana:

10 Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro

11 Hili ndilo Bwana asemalo:

12 Nitatuma moto juu ya Temani

13 Hili ndilo asemalo Bwana:

14 Nitatuma moto kwenye kuta za Raba

15 Mfalme wake atakwenda uhamishoni,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado