1 Maneno ya Amosi, mmoja wa wachunga wanyama wa Tekoa: yale aliyoyaona kuhusu Israeli miaka miwili kabla ya tetemeko la ardhi, wakati Uzia alikuwa mfalme wa Yuda, na Yeroboamu mwana wa Yehoashi alikuwa mfalme wa Israeli.
2 Alisema:
3 Hili ndilo asemalo Bwana:
4 Nitatuma moto juu ya nyumba ya Hazaeli
5 Nitalivunja lango la Dameski;
6 Hili ndilo asemalo Bwana:
7 nitatuma moto juu ya kuta za Gaza
8 Nitamwangamiza mfalme wa Ashdodi
9 Hili ndilo asemalo Bwana:
10 Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro
11 Hili ndilo Bwana asemalo:
12 Nitatuma moto juu ya Temani
13 Hili ndilo asemalo Bwana:
14 Nitatuma moto kwenye kuta za Raba
15 Mfalme wake atakwenda uhamishoni,