1 Hili ndilo asemalo Bwana:
2 Nitatuma moto juu ya Moabu
3 Nitamwangamiza mtawala wake
4 Hili ndilo asemalo Bwana:
5 Nitatuma moto juu ya Yuda
6 Hili ndilo asemalo Bwana:
7 Wanakanyaga juu ya vichwa vya maskini,
8 Watu hulala kando ya kila madhabahu
9 “Nilimwangamiza Mwamori mbele yao,
10 “Niliwapandisha toka Misri,
11 Pia niliinua manabii kutoka miongoni mwa wana wenu
12 “Lakini mliwafanya Wanadhiri kunywa mvinyo
13 “Sasa basi, nitawaponda
14 Mkimbiaji hodari hatanusurika,
15 Mpiga upinde atakimbia,
16 Hata askari walio mashujaa sana