1 Mshambuliaji anasogea dhidi yako, Ninawi.
2 Bwana atarudisha fahari ya Yakobo,
3 Ngao za askari wake ni nyekundu,
4 Magari ya vita yanafanya msukosuko barabarani,
5 Anaita vikosi vilivyochaguliwa,
6 Malango ya mto yamefunguliwa wazi,
7 Imeagizwa kwamba mji uchukuliwe
8 Ninawi ni kama dimbwi,
9 Chukueni nyara za fedha!
10 Ameharibiwa, ametekwa nyara, ameachwa uchi!
11 Liko wapi sasa pango la simba,
12 Simba aliua mawindo ya kutosha watoto wake,
13 Bwana Mwenye Nguvu Zote anatangaza,