1 Neno alilosema Mungu kuhusu Ninawi. Kitabu cha maono cha Nahumu, Mwelkoshi.
2 Bwana ni mwenye wivu na Mungu mlipiza kisasi;
3 Bwana si mwepesi wa hasira naye ni mwenye nguvu,
4 Anakemea bahari na kuikausha,
5 Milima hutikisika mbele yake
6 Ni nani awezaye kuzuia hasira yake yenye uchungu?
7 Bwana ni Mwema,
8 lakini kwa mafuriko makubwa,
9 Shauri baya lolote wapangalo dhidi ya Bwana
10 Watasongwa katikati ya miiba
11 Ee Ninawi, kutoka kwako amejitokeza mmoja,
12 Hili ndilo asemalo Bwana:
13 Sasa nitavunja nira zao kutoka shingo yako,
14 Hii ndiyo amri Bwana aliyoitoa kukuhusu wewe, Ninawi:
15 Tazama, huko juu milimani,