1 Taabu gani hii niliyo nayo!
2 Wanaomcha Mungu wameondolewa kutoka nchi;
3 Mikono yote miwili ni hodari katika kufanya ubaya,
4 Aliye mwema kupita wote kati yao
5 Usimtumaini jirani;
6 Kwa kuwa mwana humdharau baba yake,
7 Lakini mimi, namtazama Bwana kwa matumaini,
8 Usifurahie msiba wangu, ee adui yangu!
9 Kwa sababu nimetenda dhambi dhidi yake,
10 Kisha adui yangu ataliona
11 Siku ya kujenga kuta zako itawadia,
12 Siku hiyo watu watakuja kwako
13 Dunia itakuwa ukiwa kwa sababu ya wakazi wake,
14 Wachunge watu wako kwa fimbo yako,
15 “Kama siku zile mlipotoka Misri,
16 Mataifa yataona na kuaibika,
17 Wataramba mavumbi kama nyoka,
18 Ni nani Mungu kama wewe,
19 Utatuhurumia tena,
20 Utakuwa wa kweli kwa Yakobo,