1 Sikiliza asemalo Bwana:
2 Sikilizeni, ee milima, mashtaka ya Bwana,
3 “Watu wangu, nimewatendea nini?
4 Nimewatoa kutoka Misri na kuwakomboa
5 Watu wangu, kumbukeni jinsi Balaki mfalme wa Moabu
6 Nimjie Bwana na kitu gani na kusujudu
7 Je, Bwana atafurahishwa na kondoo dume elfu,
8 Amekuonyesha yaliyo mema, ee mwanadamu.
9 Sikiliza! Bwana anauita mji:
10 Je, bado nisahau, ee nyumba ya uovu,
11 Je, naweza kuhukumu kuwa
12 Matajiri wake ni wajeuri;
13 Kwa hiyo, nimeanza kukuharibu,
14 Mtakula lakini hamtashiba;
15 Mtapanda lakini hamtavuna;
16 Mmezishika sheria za Omri