1 Panga majeshi yako, ee mji wa majeshi,
2 “Lakini wewe, Bethlehemu Efrathi,
3 Kwa hiyo Israeli utaachwa mpaka wakati
4 Atasimama na kulichunga kundi lake
5 Naye atakuwa amani yao.
6 Wataitawala nchi ya Ashuru kwa upanga,
7 Mabaki ya Yakobo yatakuwa
8 Mabaki ya Yakobo yatakuwa miongoni mwa mataifa,
9 Mkono wako utainuliwa juu kwa ushindi juu ya watesi wako,
10 “Katika siku ile,” asema Bwana,
11 Nitaiangamiza miji ya nchi yenu
12 Nitaangamiza uchawi wenu
13 Nitaangamiza vinyago vyenu vya kuchonga
14 Nitangʼoa nguzo za Ashera katikati yenu
15 Nitalipiza kisasi kwa hasira na ghadhabu