1 Ole wa mji umwagao damu,
2 Kelele za mijeledi,
3 Wapanda farasi wanaenda mbio,
4 yote haya kwa sababu ya wingi wa tamaa za kahaba,
5 Bwana Mwenye Nguvu Zote anasema,
6 Nitakutupia uchafu,
7 Wote wanaokuona watakukimbia na kusema,
8 Je, wewe ni bora kuliko No-Amoni,
9 Kushi na Misri walikuwa nguvu zake zisizo na mpaka;
10 Hata hivyo alichukuliwa mateka
11 Wewe pia utalewa;
12 Ngome zako zote ni kama mitini
13 Tazama vikosi vyako:
14 Teka maji kwa ajili ya kuzingirwa kwako,
15 Huko moto utakuteketeza,
16 Umeongeza idadi ya wafanyabiashara wako
17 Walinzi wako ni kama nzige,
18 Ee mfalme wa Ashuru, wachungaji wako wanasinzia;
19 Hakuna kitu kinachoweza kuponya jeraha lako;