1 Kuhusu Moabu:
2 Moabu haitasifiwa tena;
3 Sikiliza kilio kutoka Horonaimu,
4 Moabu utavunjwa,
5 Wanapanda kwenda njia ya kuelekea Luhithi,
6 Kimbieni! Okoeni maisha yenu,
7 Kwa kuwa mmetumainia matendo yenu na mali zenu,
8 Mharabu atakuja dhidi ya kila mji,
9 Wekeni chumvi kwa ajili ya Moabu,
10 “Alaaniwe yeye afanyaye kazi ya Bwana kwa hila!
11 “Moabu amestarehe tangu ujana wake,
12 Lakini siku zinakuja,”
13 Kisha Moabu atamwonea aibu mungu wao Kemoshi,
14 “Mwawezaje kusema, ‘Sisi ni mashujaa,
15 Moabu ataangamizwa na miji yake itavamiwa,
16 “Kuanguka kwa Moabu kumekaribia,
17 Ombolezeni kwa ajili yake, ninyi nyote mnaomzunguka,
18 “Shuka kutoka fahari yako
19 Simama kando ya barabara na utazame,
20 Moabu amefedheheshwa, kwa kuwa amevunjavunjwa.
21 Hukumu imefika kwenye uwanda wa juu:
22 katika Diboni, Nebo
23 katika Kiriathaimu, Beth-Gamuli
24 katika Keriothi na Bosra;
25 Pembe ya Moabu imekatwa,
26 “Mlevye,
27 Je, Israeli hakuwa kitu chako cha kudhihakiwa?
28 Ondokeni kwenye miji yenu, mkaishi katikati ya miamba,
29 “Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu:
30 Ninaujua ujeuri wake, lakini ni bure,”
31 Kwa hiyo namlilia Moabu,
32 Ninalia machozi kwa ajili yenu, kama Yazeri aliavyo,
33 Shangwe na furaha vimetoweka
34 “Sauti ya kilio chao inapanda
35 Nitakomesha wale wote katika Moabu
36 “Kwa hiyo moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu kama filimbi;
37 Kila kichwa kimenyolewa
38 Juu ya mapaa yote katika Moabu
39 “Tazama jinsi alivyovunjikavunjika!
40 Hili ndilo asemalo Bwana:
41 Miji itatekwa na ngome zake
42 Moabu ataangamizwa kama taifa
43 Hofu kuu, shimo na mtego vinawangojea,
44 “Yeyote atakayeikimbia hiyo hofu kuu
45 “Katika kivuli cha Heshboni,
46 Ole wako, ee Moabu!
47 “Lakini nitarudisha mateka wa Moabu,