1 Hili ndilo neno la Bwana lililomjia nabii Yeremia kuhusu Wafilisti, kabla Farao hajaishambulia Gaza:
2 Hili ndilo asemalo Bwana:
3 kwa sauti ya kwato za farasi waendao mbio,
4 Kwa maana siku imewadia
5 Gaza atanyoa kichwa chake katika kuomboleza,
6 “Mnalia, ‘Aa, upanga wa Bwana,
7 Lakini upanga utatuliaje