Jeremias 47

SWHONEN

1 Hili ndilo neno la Bwana lililomjia nabii Yeremia kuhusu Wafilisti, kabla Farao hajaishambulia Gaza:

2 Hili ndilo asemalo Bwana:

3 kwa sauti ya kwato za farasi waendao mbio,

4 Kwa maana siku imewadia

5 Gaza atanyoa kichwa chake katika kuomboleza,

6 “Mnalia, ‘Aa, upanga wa Bwana,

7 Lakini upanga utatuliaje

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado