1 Hili ni neno la Bwana lililomjia nabii Yeremia kuhusu mataifa:
2 Kuhusu Misri:
3 “Wekeni tayari ngao zenu, kubwa na ndogo,
4 Fungieni farasi lijamu,
5 Je, ninaona nini?
6 Walio wepesi na wenye mbio hawawezi kukimbia,
7 “Ni nani huyu ajiinuaye kama Mto Naili,
8 Misri hujiinua kama Mto Naili,
9 Songeni mbele, enyi farasi!
10 Lakini ile siku ni ya Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote,
11 “Panda hadi Gileadi ukapate zeri,
12 Mataifa yatasikia juu ya aibu yako,
13 Huu ndio ujumbe Bwana aliomwambia nabii Yeremia kuhusu kuja kwa Nebukadneza mfalme wa Babeli ili kuishambulia Misri:
14 “Tangaza hili katika Misri, nawe ulihubiri katika Migdoli,
15 Kwa nini mashujaa wako wamesombwa
16 Watajikwaa mara kwa mara,
17 Huko watatangaza,
18 “Kwa hakika kama niishivyo,” asema Mfalme,
19 Funga mizigo yako kwenda uhamishoni,
20 “Misri ni mtamba mzuri,
21 Askari wake waliokodiwa katika safu zake
22 Misri atatoa sauti kama ya nyoka anayekimbia
23 Wataufyeka msitu wake,”
24 Binti wa Misri ataaibishwa,
25 Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asema: “Nakaribia kuleta adhabu juu ya Amoni mungu wa Thebesi, na juu ya Farao, Misri na miungu yake, na wafalme wake, pamoja na wale wanaomtegemea Farao.
26 Nitawatia mikononi mwa wale wanaotafuta uhai wao, yaani Nebukadneza mfalme wa Babeli na maafisa wake. Hatimaye, hata hivyo, Misri itakaliwa kama nyakati zilizopita,” asema Bwana.
27 “Usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu,
28 Usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu,