Jeremias 49

SWHONEN

1 Kuhusu Waamoni:

2 Lakini siku zinakuja,”

3 “Lia kwa huzuni, ee Heshboni, kwa kuwa Ai umeangamizwa!

4 Kwa nini unajivunia mabonde yako,

5 Nitaleta hofu kuu juu yako

6 “Lakini hatimaye,

7 Kuhusu Edomu:

8 Geuka na ukimbie, jifiche katika mapango marefu kabisa,

9 Je, kama wachuma zabibu wangekuja kwako,

10 Lakini nitamvua Esau nguo abaki uchi,

11 Waache yatima wako; nitayalinda maisha yao.

12 Hili ndilo asemalo Bwana: “Kama wale wasiostahili kukinywea kikombe ni lazima wakinywe, kwa nini wewe usiadhibiwe? Hutakwepa kuadhibiwa, ni lazima ukinywe.

13 Ninaapa kwa nafsi yangu,” asema Bwana, “kwamba Bosra utakuwa magofu na kitu cha kutisha, cha aibu na cha kulaania; miji yake yote itakuwa magofu milele.”

14 Nimesikia ujumbe kutoka kwa Bwana:

15 “Sasa nitakufanya uwe mdogo miongoni mwa mataifa,

16 Vitisho vyako na kiburi cha moyo wako

17 “Edomu atakuwa kitu cha kuogofya;

18 Kama vile Sodoma na Gomora zilivyoangamizwa,

19 “Kama simba anayepanda kutoka vichaka vya Yordani

20 Kwa hiyo, sikia kile Bwana alichokipanga dhidi ya Edomu,

21 Kwa sauti ya anguko lao, dunia itatetemeka.

22 Tazama! Tai atapaa juu angani na kuruka chini kwa ghafula,

23 Kuhusu Dameski:

24 Dameski amedhoofika,

25 Kwa nini mji ambao unajulikana haujaachwa,

26 Hakika, vijana wake wanaume wataanguka barabarani;

27 “Nitatia moto kuta za Dameski;

28 Kuhusu Kedari na falme za Hazori, ambazo Nebukadneza mfalme wa Babeli alizishambulia:

29 Hema zao na makundi yao ya kondoo yatachukuliwa;

30 “Kimbieni haraka!

31 “Inuka na ulishambulie taifa lililo starehe,

32 Ngamia wao watakuwa nyara,

33 “Hazori itakuwa makao ya mbweha,

34 Hili ndilo neno la Bwana lililomjia nabii Yeremia kuhusu Elamu, mapema katika utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda:

35 Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo:

36 Nitaleta pepo nne dhidi ya Elamu

37 Nitamfadhaisha Elamu mbele ya adui zao,

38 Nitaweka kiti changu cha enzi huko Elamu

39 “Lakini nitarudisha mateka wa Elamu

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado