1 “Ikiwa utataka kurudi, ee Israeli,
2 ikiwa kwa kweli, kwa haki na kwa unyofu utaapa,
3 Hili ndilo asemalo Bwana kwa watu wa Yuda na kwa Yerusalemu:
4 Jitahirini katika Bwana,
5 “Tangaza katika Yuda na upige mbiu katika Yerusalemu na kusema:
6 Onyesheni ishara ili kwenda Sayuni!
7 Simba ametoka nje ya pango lake,
8 Hivyo vaeni nguo za magunia,
9 “Katika siku ile,” asema Bwana
10 Ndipo niliposema, “Aa, Bwana Mwenyezi, umewadanganyaje kabisa watu hawa na Yerusalemu kwa kusema, ‘Mtakuwa na amani,’ wakati upanga uko kwenye koo zetu!”
11 Wakati huo watu hawa na Yerusalemu wataambiwa, “Upepo wa moto kutoka miinuko iliyo kame katika jangwa unavuma kuelekea watu wangu, lakini sio kupepeta au kutakasa,
12 upepo wenye nguvu sana kuliko wa kupepeta na kutakasa utakuja kwa amri yangu. Sasa natangaza hukumu zangu dhidi yao.”
13 Tazama! Anakuja kama mawingu,
14 Ee Yerusalemu, usafishe uovu kutoka moyoni mwako na uokolewe.
15 Sauti inatangaza kutoka Dani,
16 “Waambie mataifa jambo hili,
17 Wamemzunguka kama watu walindao shamba,
18 “Mwenendo wako na matendo yako mwenyewe
19 Ee mtima wangu, mtima wangu!
20 Maafa baada ya maafa,
21 Hata lini nitaendelea kuona bendera ya vita
22 “Watu wangu ni wapumbavu,
23 Niliitazama dunia,
24 Niliitazama milima, nayo ilikuwa ikitetemeka,
25 Nilitazama, wala watu hawakuwepo;
26 Nilitazama, hata nchi iliyokuwa imestawi vizuri imekuwa jangwa,
27 Hivi ndivyo Bwana asemavyo:
28 Kwa hiyo dunia itaomboleza
29 Kwa sauti ya wapanda farasi na wapiga upinde
30 Unafanya nini, ewe uliyeharibiwa?
31 Nasikia kilio kama cha mwanamke