1 “Pandeni na kushuka katika mitaa ya Yerusalemu,
2 Ingawa wanasema, ‘Kwa hakika kama Bwana aishivyo,’
3 Ee Bwana, je, macho yako hayaitafuti kweli?
4 Ndipo nikasema, “Hawa ni maskini tu;
5 Kwa hiyo nitakwenda kwa viongozi
6 Kwa hiyo simba kutoka mwituni atawashambulia,
7 “Kwa nini niwasamehe?
8 Wamelishwa vizuri, kama farasi waume wenye tamaa nyingi,
9 Je, nisiwaadhibu kwa ajili ya hili?”
10 “Piteni katika mashamba yake ya mizabibu na kuyaharibu,
11 Nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda
12 Wamedanganya kuhusu Bwana.
13 Manabii ni upepo tu, wala neno halimo ndani yao,
14 Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote:
15 Ee nyumba ya Israeli,” asema Bwana,
16 Podo zao ni kama kaburi lililo wazi,
17 Watayaangamiza mazao yenu na chakula chenu,
18 “Hata hivyo katika siku hizo, sitakuangamiza kabisa,” asema Bwana.
19 “Nao watu watakapouliza, ‘Kwa nini Bwana, Mungu wetu ametufanyia mambo haya yote?’ utawaambia, ‘Kama vile mlivyoniacha mimi na kutumikia miungu migeni katika nchi yenu wenyewe, ndivyo sasa mtakavyowatumikia wageni katika nchi ambayo si yenu.’
20 “Itangazie nyumba ya Yakobo hili
21 Sikieni hili, enyi watu wapumbavu, msio na akili,
22 Je, haiwapasi kuniogopa mimi?” asema Bwana.
23 Lakini watu hawa wana mioyo ya ukaidi na ya uasi,
24 Wao hawaambiani wenyewe,
25 Matendo yenu mabaya yamezuia haya yote,
26 “Miongoni mwa watu wangu wamo walio waovu
27 Kama vitundu vilivyojaa ndege,
28 wamenenepa na kunawiri.
29 Je, nisiwaadhibu kwa ajili ya hili?”
30 “Jambo la kutisha na kushtusha
31 Manabii wanatabiri uongo,