1 Kisha Ayubu akajibu:
2 “Naam, najua hili ni kweli.
3 Ingawa mtu angetaka kushindana naye,
4 Hekima yake ni kubwa sana na ana uwezo mwingi mno.
5 Aiondoa milima bila yenyewe kujua
6 Aitikisa dunia kutoka mahali pake
7 Husema na jua, nalo likaacha kuangaza;
8 Yeye peke yake huzitandaza mbingu
9 Yeye ndiye Muumba wa nyota za Dubu, na Orioni,
10 Hutenda maajabu yasiyopimika,
11 Anapopita karibu nami, siwezi kumwona;
12 Anapochukua kwa ghafula, ni nani awezaye kumzuia?
13 Mungu hataizuia hasira yake;
14 “Ni vipi basi mimi nitaweza kubishana naye?
15 Ingawa sikuwa na hatia, sikuweza kumjibu;
16 Hata kama ningemwita kwenye shauri, naye akakubali,
17 Yeye angeniangamiza kwa dhoruba
18 Asingeniacha nipumue
19 Kama ni suala la nguvu, yeye ni mwenye nguvu!
20 Hata kama sikuwa na hatia, kinywa changu kingenihukumu;
21 “Ingawa mimi sina kosa,
22 Hayo yote ni sawa; ndiyo sababu nasema,
23 Wakati pigo liletapo kifo cha ghafula,
24 Wakati nchi inapoangukia mikononi mwa waovu,
25 “Siku zangu zapita mbio kuliko mkimbiaji;
26 Zinapita upesi kama mashua ya mafunjo,
27 Kama nikisema, ‘Nitayasahau malalamiko yangu,
28 bado ninahofia mateso yangu yote,
29 Kwa kuwa nimeonekana mwenye hatia,
30 Hata kama ningejiosha kwa sabuni
31 wewe ungenitupa kwenye shimo la utelezi
32 “Yeye si mwanadamu kama mimi ili niweze kumjibu,
33 Laiti angelikuwepo mtu wa kutupatanisha kati yetu,
34 mtu angeliiondoa fimbo ya Mungu juu yangu,
35 Ndipo ningenena naye, bila kumwogopa,