Jó 8

SWHONEN

1 Kisha Bildadi Mshuhi akajibu:

2 “Hata lini wewe utasema mambo kama haya?

3 Je, Mungu hupotosha hukumu?

4 Watoto wako walipomtenda dhambi,

5 Lakini ukimtafuta Mungu,

6 ikiwa wewe ni safi na mnyofu,

7 Ijapokuwa mwanzo wako ulikuwa mdogo,

8 “Ukaulize vizazi vilivyotangulia

9 kwa kuwa sisi tumezaliwa jana tu na hatujui lolote,

10 Je, hawatakufundisha na kukueleza?

11 Je, mafunjo yaweza kumea mahali pasipo na matope?

12 Wakati bado yanaendelea kukua kabla ya kukatwa,

13 Huu ndio mwisho wa watu wote wanaomsahau Mungu;

14 Lile analolitumainia huvunjika upesi;

15 Huutegemea utando wake, lakini hausimami;

16 Yeye ni kama mti ulionyeshewa vizuri wakati wa jua,

17 huifunganisha mizizi yake kwenye lundo la mawe,

18 Unapongʼolewa kutoka mahali pake,

19 Hakika uhai wake hunyauka,

20 “Hakika Mungu hamkatai mtu asiye na hatia,

21 Bado atakijaza kinywa chako na kicheko,

22 Adui zako watavikwa aibu,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado