1 “Je, mwanadamu hana kazi ngumu duniani?
2 Kama mtumwa anavyovionea shauku vivuli vya jioni,
3 ndivyo nilivyogawiwa miezi ya ubatili,
4 Wakati nilalapo ninawaza, ‘Itachukua muda gani kabla sijaamka?’
5 Mwili wangu umevikwa mabuu na uchafu,
6 “Siku zangu zinapita upesi kuliko mtande wa kufuma,
7 Kumbuka, Ee Mungu, maisha yangu ni kama pumzi;
8 Lile jicho linaloniona sasa halitaniona tena;
9 Kama vile wingu liondokavyo na kutoweka,
10 Kamwe harudi tena nyumbani mwake;
11 “Kwa hiyo sitanyamaza;
12 Je, mimi ni bahari, au mnyama mkubwa mno akaaye vilindini,
13 Ninapofikiri kwamba kitanda changu kitanifariji,
14 ndipo wanitisha kwa ndoto
15 hivyo ninachagua kujinyonga na kufa,
16 Ninayachukia maisha yangu; nisingetamani kuendelea kuishi.
17 “Mwanadamu ni kitu gani hata umjali kiasi hiki,
18 kwamba unamwangalia kila asubuhi
19 Je, hutaacha kamwe kunitazama,
20 Ikiwa nimetenda dhambi, nimekufanyia nini,
21 Kwa nini husamehi makosa yangu