Jó 6

SWHONEN

1 Kisha Ayubu akajibu:

2 “Laiti uchungu wangu ungeweza kupimwa,

3 Kwa kuwa hakika ingekuwa nzito kuliko mchanga wa bahari zote,

4 Mishale ya Mwenyezi iko ndani yangu,

5 Je, punda-mwitu hulia akiwa na majani,

6 Je, chakula kisicho na ladha huliwa bila chumvi,

7 Ninakataa kuvigusa;

8 “Laiti ningepata haja yangu,

9 kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda,

10 Ndipo bado ningekuwa na hii faraja,

11 “Ninazo nguvu gani, hata niendelee kutumaini?

12 Je, mimi nina nguvu za jiwe?

13 Je, ninao uwezo wowote wa kujisaidia mimi mwenyewe,

14 “Mtu anayekata tamaa angetazamia moyo wa kujitoa wa rafiki zake,

15 Lakini ndugu zangu sio wa kutegemewa,

16 wakati vimefunikwa barafu iyeyukayo,

17 lakini hukauka majira ya ukame,

18 Misafara hugeuka kutoka njia zake;

19 Misafara ya Tema inatafuta maji,

20 Wamedhikika, kwa sababu walikuwa na matumaini;

21 Sasa nanyi mmethibitika kwamba hamna msaada wowote;

22 Je, nimewahi kusema, ‘Toeni kitu kwa ajili yangu,

23 au niokoeni mikononi mwa adui,

24 “Nifundisheni, nami nitanyamaza kimya;

25 Tazama yalivyo ya kuumiza maneno ya kweli!

26 Je, mna maana ya kuyasahihisha ninayosema,

27 Mngeweza hata kupiga kura kwa ajili ya yatima,

28 “Lakini sasa kuweni na huruma mkaniangalie mimi.

29 Tulizeni hasira, msiwe wadhalimu;

30 Je, pana uovu wowote midomoni mwangu?

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado