1 “Ita kama unataka, lakini ni nani atakayekujibu?
2 Kuweka uchungu moyoni humuua mpumbavu,
3 Mimi mwenyewe nimemwona mpumbavu akistawi,
4 Watoto wake wako mbali na usalama,
5 Wenye njaa huyala mavuno yake,
6 Kwa maana taabu haioti kutoka kwenye udongo,
7 Lakini mwanadamu huzaliwa ili kutaabika,
8 “Lakini ingekuwa ni mimi, ningemlalamikia Mungu,
9 Yeye hutenda maajabu yasiyoweza kutambuliwa,
10 Yeye huipa nchi mvua,
11 Huwainua juu wanyonge,
12 Huipinga mipango ya wenye hila,
13 Yeye huwanasa wenye hekima katika hila yao,
14 Giza huwapata wakati wa mchana;
15 Humwokoa mhitaji kutokana na upanga ulioko kinywani mwao;
16 Kwa hiyo maskini analo tarajio,
17 “Heri mtu yule ambaye Mungu humrudi;
18 Kwa kuwa hutia jeraha, lakini pia huyafunga;
19 Kutoka majanga sita atakuokoa;
20 Wakati wa njaa atakukomboa wewe na kifo,
21 Utalindwa kutokana na kichapo cha ulimi,
22 Utayacheka maangamizo na njaa,
23 Kwa kuwa utakuwa na agano na mawe ya mashamba,
24 Utajua ya kwamba hema lako li salama;
25 Utajua ya kuwa watoto wako watakuwa wengi,
26 Utaingia kaburini ukiwa na umri wa uzee mtimilifu,
27 “Tumelichunguza hili, nalo ni kweli.