1 Ndipo Elifazi Mtemani akajibu:
2 “Kama mtu akithubutu kuzungumza nawe,
3 Fikiri jinsi ambavyo umewafundisha watu wengi,
4 Maneno yako yamewategemeza wale waliojikwaa;
5 Lakini sasa hii taabu imekujia wewe,
6 Je, kumcha Mungu kwako hakupaswi kuwa
7 “Fikiri sasa: Ni mtu yupi asiye na hatia ambaye aliwahi kuangamia?
8 Kwa jinsi ambavyo mimi nimechunguza,
9 Kwa pumzi ya Mungu huangamizwa;
10 Simba anaweza kunguruma na kukoroma,
11 Simba anaweza kuangamia kwa kukosa mawindo,
12 “Neno lililetwa kwangu kwa siri,
13 Katikati ya ndoto za kutia wasiwasi wakati wa usiku,
14 hofu na kutetemeka kulinishika
15 Kuna roho aliyepita mbele ya uso wangu,
16 Yule roho akasimama,
17 ‘Je, binadamu aweza kuwa mwadilifu kuliko Mungu?
18 Kama Mungu hawaamini watumishi wake,
19 ni mara ngapi zaidi wale waishio katika nyumba
20 Kati ya mawio na machweo
21 Je, kamba za hema yao hazikungʼolewa,