Jó 3

SWHONEN

1 Baada ya jambo hili, Ayubu akafumbua kinywa chake na kuilaani siku ya kuzaliwa kwake.

2 Kisha akasema:

3 “Siku ya kuzaliwa kwangu na ipotelee mbali,

4 Siku ile na iwe giza;

5 Giza na kivuli kikuu kiikalie tena;

6 Usiku ule na ushikwe na giza kuu;

7 Usiku ule na uwe tasa;

8 Wale wazilaanio siku wailaani hiyo siku,

9 Nyota zake za alfajiri na ziwe giza;

10 kwa sababu huo usiku haukunifungia

11 “Kwa nini sikuangamia wakati wa kuzaliwa?

12 Kwa nini pakawa na magoti ya kunipokea

13 Kwa maana sasa ningekuwa nimepumzika kwa amani.

14 pamoja na wafalme na washauri wa dunia,

15 pamoja na watawala waliokuwa na dhahabu,

16 Au kwa nini sikufichwa ardhini kama mtoto aliyezaliwa mfu,

17 Huko waovu huacha kusumbua

18 Wafungwa nao hufurahia utulivu wao,

19 Wadogo na wakubwa wamo humo,

20 “Mbona nuru inawaangazia wale walio taabuni,

21 wale wanaotamani kifo ambacho hakiji,

22 ambao hujawa na furaha,

23 Kwa nini uhai hupewa mtu

24 Kwa maana kulia kwangu kwa uchungu kwanijia badala ya chakula;

25 Lile nililokuwa naliogopa limenijia;

26 Sina amani, wala utulivu;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado