Jó 40

SWHONEN

1 Bwana akamwambia Ayubu:

2 “Je, mwenye kushindana na Mwenyezi aweza kumsahihisha?

3 Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:

4 “Mimi sistahili kabisa: ninawezaje kukujibu wewe?

5 Nimesema mara moja, lakini sina jibu;

6 Ndipo Bwana akasema na Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli:

7 “Jikaze kama mwanaume;

8 “Je, utabatilisha hukumu yangu?

9 Je, una mkono kama wa Mungu,

10 Basi jivike mwenyewe utukufu na fahari,

11 Fungulia ukali wa ghadhabu yako,

12 mwangalie kila mtu mwenye kiburi na umnyenyekeze,

13 Wazike wote mavumbini pamoja;

14 Ndipo mimi mwenyewe nitakukubalia

15 “Mwangalie mnyama aitwaye Behemothi,

16 Tazama basi nguvu alizo nazo kwenye viuno vyake,

17 Mkia wake hutikisika kama mwerezi;

18 Mifupa yake ni bomba za shaba,

19 Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za Mungu,

20 Vilima humletea yeye mazao yake,

21 Hulala chini ya mimea ya yungiyungi,

22 Hiyo mimea ya yungiyungi humficha kwenye vivuli vyake;

23 Wakati mto ufurikapo, yeye hapati mshtuko wa hofu;

24 Je, mtu yeyote anaweza kumkamata yeye akiwa macho,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado