Jó 41

SWHONEN

1 “Je, waweza kumvua Lewiathani kwa ndoano ya samaki,

2 Waweza kupitisha kamba puani mwake,

3 Je, ataendelea kukuomba umhurumie?

4 Je, atafanya agano nawe ili umtwae

5 Je, utamfuga na kumfanya rafiki kama ndege,

6 Je, wafanyabiashara watabadilishana bidhaa kwa ajili yake?

7 Je, waweza kuijaza ngozi yake kwa vyuma vyenye ncha kali,

8 Kama ukiweka mkono wako juu yake,

9 Tumaini lolote la kumtiisha ni kujidanganya;

10 Hakuna yeyote aliye mkali athubutuye kumchokoza.

11 Ni nani mwenye madai dhidi yangu ili nipate kumlipa?

12 “Sitashindwa kunena juu ya maungo yake,

13 Ni nani awezaye kumvua gamba lake la nje?

14 Nani athubutuye kuufungua mlango wa kinywa chake,

15 Mgongo wake una safu za ngao

16 kila moja iko karibu sana na mwenzake,

17 Zimeunganishwa imara kila moja na nyingine;

18 Akipiga chafya mwanga humetameta;

19 Mienge iwakayo humiminika kutoka kinywani mwake;

20 Moshi hufuka kutoka puani mwake,

21 Pumzi yake huwasha makaa ya mawe,

22 Nguvu hukaa katika shingo yake;

23 Mikunjo ya nyama yake imeshikamana imara pamoja;

24 Kifua chake ni kigumu kama mwamba,

25 Ainukapo, mashujaa wanaogopa;

26 Upanga unaomfikia haumdhuru,

27 Chuma hukiona kama unyasi,

28 Mishale haimfanyi yeye akimbie;

29 Rungu kwake huwa kama kipande cha jani kavu;

30 Sehemu zake za chini kwenye tumbo

31 Huvisukasuka vilindi kama sufuria kubwa ichemkayo,

32 Anapopita nyuma yake huacha mkondo unaometameta;

33 Hakuna chochote duniani kinacholingana naye:

34 Yeye huwatazama chini wale wote wenye kujivuna;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado