Jó 35

SWHONEN

1 Ndipo Elihu akasema:

2 “Je, unadhani hili ni haki?

3 Bado unamuuliza, ‘Ni faida gani nimepata,

4 “Ningependa nikujibu wewe

5 Tazama juu mbinguni ukaone;

6 Je, ukitenda dhambi, inamdhuruje Mungu?

7 Kama wewe ni mwadilifu, unampa nini,

8 Uovu wako unamdhuru tu mtu mwingine kama wewe,

9 “Wanadamu hulia kwa kulemewa na mateso;

10 Lakini hakuna asemaye, ‘Yuko wapi Mungu Muumba wangu,

11 yeye atufundishaye sisi zaidi kuliko wanyama wa dunia,

12 Yeye hajibu wakati watu waliapo

13 Naam, Mungu hasikilizi maombi yao ya ubatili;

14 Si zaidi sana kwamba hatakusikiliza

15 pia zaidi, kwamba hasira yake kamwe haiadhibu

16 Hivyo Ayubu hufumbua kinywa chake kwa maneno yasiyo na maana;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado