1 Elihu akaendelea kusema:
2 “Nivumilie kidogo zaidi nami nitakuonyesha
3 Ninayapata maarifa yangu kutoka mbali,
4 Uwe na hakika kwamba maneno yangu si ya uongo;
5 “Mungu ni mwenye nguvu, lakini hamdharau mwanadamu;
6 Hawaachi waovu waendelee kuishi,
7 Yeye haondoi macho yake kwa wenye haki;
8 Lakini ikiwa watu wamefungwa kwenye minyororo,
9 huwaonyesha yale waliyoyatenda,
10 Huwafanya wao kusikia maonyo,
11 Kama wakitii na kumtumikia,
12 Lakini wasiposikiliza,
13 “Wasiomcha Mungu moyoni mwao huficha chuki;
14 Wanakufa wangali vijana,
15 Bali wao wanaoteseka huwaokoa katika mateso yao,
16 “Yeye anakubembeleza utoke katika mataya ya dhiki,
17 Lakini sasa umelemewa na hukumu kwa ajili ya uovu;
18 Uwe mwangalifu ili yeyote asikushawishi kwa utajiri;
19 Je, utajiri wako hata nguvu zako nyingi
20 Usiutamani usiku uje,
21 Jihadhari usigeukie uovu,
22 “Mungu ametukuzwa katika nguvu zake.
23 Ni nani aliyemwelekeza katika njia zake,
24 Kumbuka kuzitukuza kazi zake,
25 Wanadamu wote wameiona;
26 Tazama jinsi Mungu alivyo mkuu,
27 “Yeye huvuta juu matone ya maji,
28 mawingu huangusha chini maji yake,
29 Ni nani ajuaye jinsi ayatandazavyo mawingu,
30 Tazama jinsi anavyotandaza umeme wa radi kumzunguka,
31 Hivi ndivyo atawalavyo mataifa,
32 Huujaza mkono wake kwa umeme wa radi,
33 Ngurumo zake hutangaza dhoruba inayokuja;