Jó 34

SWHONEN

1 Kisha Elihu akasema:

2 “Sikieni maneno yangu, enyi watu wenye hekima;

3 Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno

4 Tujichagulie wenyewe yaliyo sawa,

5 “Ayubu anasema, ‘Mimi sina hatia,

6 Ingawa niko sawa,

7 Ni mtu gani aliye kama Ayubu,

8 Ashirikianaye na watenda mabaya

9 Kwa kuwa anasema, ‘Haimfaidi mwanadamu kitu chochote

10 “Hivyo nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye ufahamu.

11 Humlipa mwanadamu kwa ajili ya lile alilotenda;

12 Ni jambo lisiloweza kufikiriwa kwamba Mungu angefanya makosa,

13 Je, ni nani aliyemtawaza juu ya dunia?

14 Kama lilikuwa kusudi la Mungu,

15 wanadamu wote wangeliangamia kwa pamoja,

16 “Kama ninyi mnaufahamu, sikieni hili;

17 Je, yeye aichukiaye haki aweza kutawala?

18 Je, si ni yeye awaambiaye wafalme, ‘Ninyi hamfai kitu,’

19 yeye asiyependelea wakuu,

20 Wanakufa ghafula, usiku wa manane;

21 “Macho yake yanazitazama njia za wanadamu;

22 Hakuna mahali penye giza nene, wala uvuli mkubwa,

23 Mungu hana haja ya kumchunguza mtu sana,

24 Bila kuuliza huwapondaponda wenye nguvu nyingi

25 Kwa sababu huyaangalia matendo yao yote,

26 Anawaadhibu kwa ajili ya uovu wao

27 kwa sababu wameacha kumfuata Mungu,

28 Wamesababisha kilio cha maskini kifike mbele zake,

29 Lakini kama akinyamaza kimya,

30 ili kumzuia mtu mwovu kutawala,

31 “Kama mwanadamu akimwambia Mungu,

32 Nifundishe nisichoweza kuona;

33 Je basi, Mungu atakulipa kwa masharti yako,

34 “Wanadamu wenye ufahamu husema,

35 ‘Ayubu huongea bila maarifa;

36 Laiti Ayubu angejaribiwa hadi kikomo cha mwisho,

37 Kwenye dhambi yake huongeza uasi;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado