Jó 33

SWHONEN

1 “Lakini Ayubu, sasa, sikiliza maneno yangu;

2 Karibu nitafungua kinywa changu;

3 Maneno yangu yanatoka katika moyo mnyofu;

4 Roho wa Mungu ameniumba;

5 Unijibu basi, kama unaweza;

6 Mimi ni kama wewe mbele za Mungu;

7 Huna sababu ya kuniogopa,

8 “Lakini umesema nikiwa ninakusikia,

9 ‘Mimi ni safi na sina dhambi;

10 Lakini bado Mungu amepata dosari kwangu,

11 Ananifunga miguu kwa pingu,

12 “Lakini mimi ninakuambia, katika jambo hili wewe una makosa,

13 Kwa nini unamlalamikia

14 Kwa kuwa Mungu husema, wakati huu kwa njia moja,

15 Mungu husema na mwanadamu katika ndoto,

16 anaweza akasemea masikioni mwao,

17 ili kumgeuza mtu kutoka kwenye kutenda mabaya

18 kuiokoa nafsi yake na shimo,

19 Mtu anaweza kutiwa adabu kwa maumivu kitandani mwake,

20 kiasi kwamba maisha yake yenyewe yanakataa chakula

21 Nyama ya mwili wake huisha kwa kukonda,

22 Nafsi yake inakaribia kaburi,

23 “Kama bado kuna malaika upande wake

24 kumwonea huruma na kusema,

25 ndipo nyama ya mwili wake hufanywa mpya kama ya mtoto;

26 Humwomba Mungu, akapata kibali kwake,

27 Ndipo huja mbele za watu na kusema,

28 Alinikomboa nafsi yangu nisitumbukie shimoni,

29 “Mungu hufanya haya yote kwa mwanadamu;

30 ili aigeuze nafsi yake toka shimoni,

31 “Ayubu, zingatia, nisikilize mimi;

32 Kama unalo lolote la kusema, unijibu;

33 Lakini kama huna la kusema, basi nisikilize mimi;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado